News

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 5 minutes ago
*Bingwa wa dunia wa mbio za marathon, Edna Ngeringwony Kiplagat wa Kenya (pichani) amejitokeza kushiriki katika mbio zaUhuru Marathon zinazotarajiwa kufanyika jijini Dar ers Salaam Desemba 8, mwaka huu.* * Katibu wa Kamati ya Uhuru Marathon, Innocent Melleck alisema, wamefarijika kwa kiasi kikubwa kwa Edna mwenye sifa lukuki katika mbio za marathon kujitokeza kushiriki. * *“Kwetu tumefarijika mno kutokana na ushiriki wa Edna, kwani ni mwanariadha wa kimataifa mwenye rekodi nyingi za kuvutia na hasa hii ya ubingwa wa dunia kwa upande wa wanawake,” alisema. * *Edna,34, alitwaa ubingwa... more »

Balozi seif ali Iddi apokea taarifa ya UVCCM, aunguruma Kitope

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 17 minutes ago
*Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa Mh. Sadifa Juma Khamis akitoa Taarifa fupi kwenye Mkutano wa kutambulishana baadhi ya wajumbe wa Kamati ndogo ya kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa Jengo Jipya la Ofisi Kuu ya UVCCM Zanzibar. * *Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa Jengo Jipya la Ofisi Kuu ya UVCCM Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, kulia yake Makamu Mwenyekiti wa Kamati Hiyo waziri Mkuu Mstaafu wa Mh. Edward Lowasa pamoja na wajumbe wengine wakiwa katika mkutano wa mwanzo wa Kamati hiyo.--------------------------------------**Wananchi wa Ma... more »

New Life Band, Kabaganza ndani ya Tamasha la Krismas

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 24 minutes ago
* New Life Band ya Arusha* *Lilian Kabaganza wa Rwanda* *KUNDI la Muziki wa Injili la New Life Band la jijini Arusha limethibitisha kushiriki Tamasha la Krismas linalotarajia kuanza Desemba 25 uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na mikoa mingine minne hapa nchini. * *Bendi hiyo ni muendelezo wa waimbaji waliothibitisha kushiriki tamasha hilo la Kimataifa lenye kauli Mbiu ya kuimalisha amani hapa nchini.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions ambao ni waandaaji wa tamasha hilo, Alex Msama alisema kuendelea kujitokeza kwa waimbaji hao kunatokana na kufanyika kwa tarat... more »

KILIMANJARO STARS KUAGWA KWA HAFLA JIJINI DAR KESHO

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 29 minutes ago
*Kikosi cha Kilimanjaro Stars kinaagwa kesho (Novemba 25 mwaka huu) tayari kwa safari ya Nairobi, Kenya kushiriki michuano ya Kombe la Chalenji inayoanza kutimua vumbi Novemba 27 mwaka huu.* *Hafla ya kuiaga timu hiyo itafanyika saa 5 asubuhi kambini kwao katika hoteli ya Accomondia jijini Dar es Salaam. Msafara wa Kilimanjaro Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager utaongozwa na Ahmed Idd Mgoyi.* *Wachezaji waliomo katika msafara huo ni makipa Deogratius Munishi (Yanga), Ivo Mapunda (Gor Mahia, Kenya) na Aishi Manula (Azam). Mabeki ni Erasto Nyoni (Azam), Himid Mao (Azam... more »

WANAJESHI KUTOKA US ARMY WAR COLLAGE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UN

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 38 minutes ago
*Mwishoni wa wiki, Uwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa mataifa, ulitembelewa na wanafunzi wanajeshi wanane wanaoshiriki katika mafunzo ya miezi kumi, kupitia International Fellows Program yanayotolewa United States Army War war College and Carlisle Barrace. * *Chuo hicho ambacho kipo nchini Marekani, kila mwaka huanda mafunzo hayo katika ngazi ya maafisa kutoka mataifa mbalimbali marafiki. * * Kwa mwaka huu, mafunzo hayo yanawanafunzi 367 kati yao 300 ni wamarekani na waliobaki 67 wanatoka katika mataifa mbalimbali ikiwamo Tanzania. * *Wanafunzi hao walifika k... more »

kikwangua anga ilala

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 54 minutes ago
*Ankal salaam. Twaishukuru NSSF kutujengea moja ya vikwangua anga vingi vilivyopangwa kujengwa hapa Ilala, ambacho hadi sasa zimeshafikia ghorofa zaidi ya 23 na ujenzi unaendelea...* *Ni wazi kuwa muda si mrefu tutaona "skyline" ya Ilala ikianza kubadilika kabisa kwani wapo wawekezaji waliokuwa wanasubiri tu kuona nani anaanza kujenga majengo makubwa makubwa Ilala ili nao wawekeze fedha zao katika sekta hii inayobadilisha kabisa sura ya jiji la Dar na viunga vyake. Heko NSSF.* *Mdau Ilala Boma*

Aibu: Miss Tanzania arekodi mkanda wa ngono na lili wyne wa bongo, Video yavuja ikimuonesha binti huyo akiwa ameharibiwa vibaya

MPEKUZI at DOMO LANGU - 3 hours ago
Tumenasa tukio la kustajabisha la msichana mmoja ambae ni mrembo namba moja wa Mkoa mmoja jina linahidhiwa akiwa amecheza DVD ya ngono na mwanamuziki chipukizi aliyefahamika kwa jina la Shebo. Tunaomba radhi wasomaji kwa kuweka picha hizi za wazi mno ili kuonesha jamii upuuzi mzima unaofanywa na vijana wetu ambao ni nguvu kazi ya taifa. Katika DVD hiyo, binti huyu anaonekana akimlazimisha mwanamuziki huyo kumfanya mapenzi kinyume na maumbile kwa sababu eti amezoea kufanywa kwa madai kuwa kama akifanya mbele peke yake hafurahii tendo hilo *Kila kitu kipo hapo chini*... more »

NAIBU WAZIRI WA MAJI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MIRADI SINGIDA

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 4 hours ago
*Naibu Waziri wa Maji, Dk. Binilith Mahenge ameridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya maji mkoani Singida. Dk. Mahenge amesema hayo akiwa anaendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Singida kukagua miradi ya maji katika Halmashauri za Wilaya ya mkoa huo.* *“Nimetembelea mikoa karibu yote nchini kukagua miradi ya maji, lakini ni Singida pekee ambako karibu miradi yake yote imetekelezwa kwa asilimia kubwa, ikiwemo mitatu iliyokamilika na mingine ipo katika hatua nzuri kiutekelezaji”, alisema Dk. Mahenge.* *“Nawapongeza sana watendaji Singida kwa kazi nzuri na nawashauri was... more »

MISS ILALA 2013 DORICE MOLLEL HANDS OVER 132 STORY BOOKS WORTH 200,000 TO UKONGA PRIMARY SCHOOL

MUHIDIN MICHUZI at MICHUZI BLOG - 4 hours ago
[image: download(3)] *Mkuki wa Nyota Editor Godance Mkuki(right) hands over 132 story books to Miss Ilala 2013 Doris Mollel at the Ukonga primary school premises in Dar es Salaam during the climax celebration of the International Children’s day.* *In an efforts to promote a reading culture in the country Mkuki wa Nyota publishers recent during the international children day decided to give 132 story books worth 200,000 to Miss Ilala 2013 Doris Mollel who hands over to Ukonga Primary school.* *[image: download(4)]* [image: download(13)] *Miss Ilala 2013 Doris Mollel finally hands over ... more »

Malawi yaichokoza Tanzania tena....Rais wao ametangaza kuwa mkoa wa Ruvuma na wananchi wake ni mali ya Malawi

MPEKUZI at DOMO LANGU - 5 hours ago
RAIS wa Malawi, Joyce Banda ametajwa kuendeleza chokochoko baina ya nchi yake na Tanzania, *huku sasa akidaiwa kutumia redio na runinga za nchini mwake kutangaza kuwa mkoa wa Ruvuma, viongozi na wananchi wa ukanda wa Ziwa Nyasa ni mali yake.* Aidha, amesitisha safari za meli ya mv Ilala iliyokuwa ikifanya safari kwenye Ziwa Nyasa kusafirisha mazao na wananchi wa ukanda huo upande wa Tanzania. Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa soka wa Mbambabay jana, Mbunge wa Mbinga Magharibi, John Komba, alisema Rais Banda ambaye aliibua upya mzozo wa mpaka b... more »

Sekretarieti kuu ya CCM yawasili jijini Mbeya ikiwa na kauli mbiu ya "UMOJA NI USHINDI"

MPEKUZI at DOMO LANGU - 5 hours ago
Sekretarieti kuu ya CCM,ikiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana (pichani kati),Katibu wa NEC,Siasa na Mahusiano ya Kimataifa,Dkt Asharose Migiro (kulia) pamoja na Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye wakiwapungia wakazi mbalimbali waliofika kuwalaki mapema leo walipokuwa wakiwasili kwenye Bandari mpya ya Kiwila Wilayani Kyela Mkoani Mbeya, kwa ziara ya kikazi,wakitokea wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma kwa meli. Pichani shoto ni Nahodha Mkuu wa Meli ya Mv Songea akitoa maelezo mafupi namna ya moja ya chombo cha meli kinavyofanya wakati ikisafiri majini, kwa Sekretarieti k... more »

1 comment: